Thursday, 18 September 2025

MGOMBEA URAIS CCM DKT. SAMIA AWAHUTUBIA WANANCHI WA NUNGWI ZANZIBAR

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akitafakari jambo kabla ya kuwahutubia Wananchi wa Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar

Matukio mbalimbali katika Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar tarehe 18 Septemba, 2025 

Dkt. Samia akiwa meza kuu na viongozi wengine
Dkt. Samia akiomba dua.

Matukio mbalimbali katika Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar tarehe 18 Septemba, 2025. 




Sehemu ya wananchi wa Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja waliohudhuria Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 18 Septemba, 2025.

Shamra shamra za wananchi wa Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja katika mkutano wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 18 Septemba, 2025.


Shamra shamra za wananchi wa Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja katika mkutano wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 18 Septemba, 2025. 

Shamra shamra za wananchi wa Nungwi, Mkoa wa Kaskazini Unguja katika mkutano wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 18 Septemba, 2025.

Shamrashamra zikiendelea
 

No comments:

Post a Comment